HOME

Jan 6, 2012

FERGUSON APATA WAKATI MGUMU

Sir Alex Ferguson


Meneja Sir Alex Ferguson wa Machester United anaangalia uwezekano wa kusajili kiungo mahiri wa Chelsea ambaye amekuwa hahakikishiwi nafasi katika kikosi cha kwanza cha timu hiyo


Machester inakabiliwa nawakati mgumu katika nafasi ya kiungo kufuatia wachezaji wengi kuwa majeruhi na Fergusson anahaha kuhakikisha kuwa mahasimu wao wakubwa timu ya Machester City haiwaachi mbali katika ligi

No comments:

Post a Comment