HOME

Jan 23, 2012

BREAKING NEWS....WALIOTHIBITISHWA NA MAHAKAMA YA ICC!!

Mkuu wa utumishi wa umma Francis Muthaura

Mbunge wa Eldoret Kaskazini William Ruto

Naibu waziri mkuu Uhuru Kenyatta

Mtangazaji wa kituo cha radio Joshua arap Sang

Watuhumiwa hao wana kesi ya kujibu katika mahakama ya kimataifa ya makosa ya uhalifu (ICC) kuhusiana na vurugu zilizoibuka mara baada ya uchaguzi mkuu nchini Kenya mwaka 2007/2008.

No comments:

Post a Comment