HOME

Jan 26, 2012

AZARENKA ATINGA FAINALI AUSTRALIAN OPEN!!

Victoria Azarenka katika mchezo uliomwezesha kutinga fainali za tennis za Australian Open

Victoria Azarenka ametinga katika fainali ya Australian Open baada ya kumfunga bingwa mtetezi Kim Clijsters kwa seti 6-4 1-6 6-3 katika mchezo uliopigwa leo asubuhi.


Ikiwa Victoria Azarenka atafanikiwa kushinda Gram slam ya kwanza katika fainali hiyo atakuwa mchezaji namba moja kwa ubora duniani akimpiku Caroline Wozniacki.

No comments:

Post a Comment