| Noorah pamoja na Mez B wakiwa ndani ya studio |
| Mchizi Mox |
| Mez B akiwa katika majonzi ambaye hapo alipo anaumwa lakini amejitahidi ili kuja kutoa salamu zake za pole kwa ndugu, jamaa na marafiki wa marehemu Albert Mangwea. |
| Watangazaji wa kipindi cha Power Jams Sam Misago na Ana Peter wakiwa kwenye show |
| Mchizi Mox akimzungumzia marehemu na historia yao kwa ufupi jinsi walivyokutana na marehemu pamoja na taratibu za msiba kwa ufupi. |
| DJ Kim |
No comments:
Post a Comment