HOME

May 28, 2013

ALBERT MANGWEA IS NO MORE!


Habari zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa mwanamuziki wa Hip-Hop wa Tanzania Albert Mangwea amefariki dunia huko Afrika Kusini alipokwenda akiwa na Suma Lee. Taarifa zinasema kuwa rafiki wa karibu wa wasanii hao alitoa taarifa baada ya Ngwair kutoamka tangu alipolala jana. Inasemekana kuwa Ngwea amefariki kutokana na over-dose. Ngwea alitangazwa kufariki baada ya kufikishwa katika hospitali ya Hellena Joseph.

MUNGU AILAZE MAHALI PEMA PEPONI ROHO YA MAREHEMU ALBERT MANGWEA.

1 comment: