HOME

Jan 26, 2012

RAFAEL NADAL AMFUNGA ROGER FEDERER NA KUINGIA FAINALI ZA MICHUANO YA AUSTRILIAN OPEN!!

Rafael Nadal akipambana katika nusu fainali hiyo iliyomalizika hivi punde.
























Rafael Nadal amefunga Roger Federer katika mchezo uliomalizika mchana huu kwa seti 6-7,6-2,7-6,6-4 na kumwezesha kuingia moja kwa moja kwenye fainali za Australian Open zitakazochezwa siku ya Jumapili ambapo nusu fainali ya pili itachezwa kesho kati ya Andy Murray na Novak Djokovic.

No comments:

Post a Comment