Mkurugenzi wa habari na uenezi chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA Bw John Mnyika |
Chama cha demokrasia na maendeleo Tanzania (CHADEMA) kimeitaka serikali kurudi kwenye meza ya mazungumzo na madaktari na kutumia rasilimali zilizopo kutatua madai ya madaktari nchini
Hayo yameelezwa Mkoani morogoro katika kongamano la katiba mpya kwa wananfunzi wa vyuo chuo kikuu Mzumbe ambapo mkurugenzi wa habari na uenezi chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA Bw John Mnyika amesema kukosekana kwa uadilifu rasilimali zilizopo nchini zinashindwa kuwanufanisha watanzania
Nae Mkurugenzi wa sheria na haki za binadamu CHADEMA Tundu Lissu akizungumzia kuhusu
katiba mpya amesema watanzania wanahitaji katiba mpya yenye mabadiliko ya kubadilisha nchi na kuongeza uwajibikaji wa viongozi kwa wananchi.
No comments:
Post a Comment