HOME

Feb 3, 2012

WOMEN IN BALANCE KITCHEN PARTY GALA...........SEHEMU YA PILI!!

Washiriki mbalimbali waliohudhuria shughuli ya women in balance kitchen party Gala iliyofanyika siku ya Jumamosi katika ukumbi uliopo Mikocheni.

Waandaaji wa shughuli hiyo Dina Marios na Vida Mndolwa

Moja kati ya bloggers maarufu wa Tanzania Shamim Mwasha mmiliki wa 8020's fashions akielezea machache kuhusu siku ya wanawake duniani itakayofanyika march 3 mwaka huu katika ukumbi wa Serena Hotel

Mburudishaji wa siku hiyo Nyota waziri

Mmoja wa wasemaji mama Victor

Mc wa shughuli Dina Marios



Wasemaji mama Victor na Bi Chau
ZAIDI INGIA HUMU

No comments:

Post a Comment