HOME

Feb 10, 2012

AL--SHABAAB YAUNGANA RASMI NA AL-QAEDA!!


Kundi la Waislam wenye itikadi kali nchini Somalia, al-Shabaab, limetangaza kuwa linaungana na kundi la al-Qaeda.


Tamko hilo limetolewa katika picha ya video iliyotolewa na makundi hayo mawili.


Yusuf Garaad wa Idhaa ya Kisomali ya BBC ambaye ameitazama video hiyo amesema kundi hilo ambalo jina lake kamili ni Harakat al Mujahiddin al Shabaab, limetangaza rasmi kuungana na al-Qaeda.


Madai ya muungano huo yametolewa na kiongozi wa al-Shabaab, Ahmed Godane, au maarufu kama Abu Zubai

No comments:

Post a Comment