HOME

Feb 24, 2012

RAIA WATOROKA VITA MALI!!


Umoja wa mataifa umesema kuwa idadi ya watu wanaokimbia maeneo ya Kaskazini mwa taifa la Mali sasa imeongezeka na kufikia watu 20,000.


Takribani watu nusu milioni wamekimbilia mataifa jirani baada ya kundi jipya la waasi wa Tuareg kuanzisha mashambulio dhidi ya vikosi vya serikali wiki iliyopita.


Kwa mujibu wa umoja wa mataifa takriban watu 1000 wanavuka mpaka wa Mali na kuingia katika mataifa jirani kila siku.

No comments:

Post a Comment