HOME

Apr 30, 2012

MATUKIO RASMI KILI 2012 WINNERS TOUR NDANI YA DODOMA!!!!


Mshindi wa pili aliyepatikana katika msako wa vipaji vipya vitakavyopanda Jukwaani na washindi wa tuzo za Kili akitoa burudani
Mshindi wa kwanza aliyepatikana katika msako wa vipaji vipya vitakavyopanda Jukwaani na washindi wa tuzo za Kili akitoa burudani
Washindi wa ziara ya kusaka vipaji vipya vitakavyopanda jukwaani na washindi wa tuzo za Kili.
Mshindi wa Tatu waliopatikana katika ziara ya kusaka vipaji vipya vitakavyopanda jukwaani na washindi wa tuzo za Kili akionyesha ukali wake.
Watu kibao wakazi wa Dodoma waliojitokea kuburudika na wasanii wao wanaowapenda
Mmoja wa Ma MC Dula ''Mjukuu wa Ambua''
Ma MC wa siku hiyo Dula na Sam Misago kutoka East Africa Radio
Kwenye mashine alikuwa Dj kutoka East Africa Radio Dj Kim
Ben Pol akifanya vitu vyake
Barnaba nae alikuwepo kwasha moto wa Kili Tour
Msanii AT nae hakubaki nyuma kuwapa burudani mashabiki wake
Diamond akishambulia Jukwaa
Roma akiingia kwa Steji
Mwanamuziki bora wa Hip Hip Hop aliyetoa shoo bora ya Hip Hop Roma Mkatoliki
Ommy Dimpoz na Dancers wake


Alli Kiba akitoa burudani

No comments:

Post a Comment