| Mshindi wa pili aliyepatikana katika msako wa vipaji vipya vitakavyopanda Jukwaani na washindi wa tuzo za Kili akitoa burudani |
| Mshindi wa kwanza aliyepatikana katika msako wa vipaji vipya vitakavyopanda Jukwaani na washindi wa tuzo za Kili akitoa burudani |
| Washindi wa ziara ya kusaka vipaji vipya vitakavyopanda jukwaani na washindi wa tuzo za Kili. |
| Mshindi wa Tatu waliopatikana katika ziara ya kusaka vipaji vipya vitakavyopanda jukwaani na washindi wa tuzo za Kili akionyesha ukali wake. |
| Watu kibao wakazi wa Dodoma waliojitokea kuburudika na wasanii wao wanaowapenda |
| Mmoja wa Ma MC Dula ''Mjukuu wa Ambua'' |
| Ma MC wa siku hiyo Dula na Sam Misago kutoka East Africa Radio |
| Kwenye mashine alikuwa Dj kutoka East Africa Radio Dj Kim |
| Ben Pol akifanya vitu vyake |
| Barnaba nae alikuwepo kwasha moto wa Kili Tour |
| Msanii AT nae hakubaki nyuma kuwapa burudani mashabiki wake |
| Diamond akishambulia Jukwaa |
| Roma akiingia kwa Steji |
| Mwanamuziki bora wa Hip Hip Hop aliyetoa shoo bora ya Hip Hop Roma Mkatoliki |
| Ommy Dimpoz na Dancers wake |
| Alli Kiba akitoa burudani |
No comments:
Post a Comment