HOME

Apr 27, 2012

''THE AVENGERS'' KUINGIA SINEMA LEO!!

Katika kuangalia kwangu filamu za marvel ,The avengers-watazamaji hatutaweza subiri mpaka mwisho wa filamu kushangilia kwani katikati ya action sequence katika onyesho la tatu la story, team nzima ya avengers,ikijumuisha Iron man, Hulk, Thor,  Captain america, Hawkeye, na Black Widow, wana assemble kwenye screen na kufanya mtazamaji kubaki na butwaa.

Hii inaonyesha ni kwa kiasi gani filamu hii livyo tengenezwa kwa umakini mkubwa na jinsi waigizaji wake wanavyoweza kusadifu uhusika wao na jinsi dialogue na script vilivyo tengenezwa kwa umakini pia.

Avenger ni muendelezo wa baadhi ya ya filamu za marvel universe. Filamu inaanza pale Loki (Tom hilddleston) anaporudi tena dunia na kuiba “the Tesseract” an alien source of pure energy, na kutishia kuteka dunia nzima kwa msaada wa jeshi lake la viumbe kutoka dunia nyingine liitwalo “the chitauri”.

Nick Fury (Samuel L. Jackson), kiongozi wa covert government outfit inayoitwa  S.H.I.E.L.D anaunda team ya super heroes iitwayo The Avengers (Robert Downey Jr,Chris Hemsworth, Chris Evans, Mark Ruffalo, Scarlett johnsson, Jeremy Renner)  kuzuia mipango ya Loki.

Kwa hisani ya Gonga Mx

No comments:

Post a Comment