HOME

Apr 27, 2012

PEP GUARDIOLA ATANGAZA KUJITOA BARCELONA!!

Pep Guardiola inasemekana ameuambia uongozi wa klabu ya Barcelona kuwa hataendelea kuinoa timu hiyo mara baada ya msimu huu kumalizika.

Guardiola ambaye aliwahi kuicheza klabu hiyo kabla ya kuwa kocha wa kikosi cha pili na hatimaye kikosi cha kwanza anatarajia kutangaza uamuzi wake huo atakapokuwa na mkutano na waandshi wa habari.

Wakati huo huo nahodha wa Chelsea John Terry ataruhusiwa kulipokea kombe la klabu bingwa barani Ulaya ikiwa timu yake ya Chelsea itaifunga Bayern Munich katika fainali itakayopigwa Maei 19,UEFA imethibitisha kupitia BBC Sport.

No comments:

Post a Comment