![]() |
| Luiza Mbutu akipokea tuzo ya Wimbo bora wa kiswahili wa bendi ni Dunia daraja wa African Stars iliyotolewa na Shamim Mwasha na Komandoo Hamza Kalala |
![]() |
| TMK Wanaume wakitoa burudani usiku wa Jumamosi katika tuzo za Kili Music Awards |
![]() |
| Kutoka kulia msanii Amini,Chaz Baba na Barnaba wakitoa burudani kama kundi la Sikinde kwa usiku huo. |
![]() |
| Kutoka kushoto Ommy Dimpoz ''Kwa Pooz kwa pooz'',Diamond na Khalid Chokoraa wakitoa burudani kama Msongo Ngoma. |
![]() |
| Wakali wa Comedy Tanzania King Majuto na Sharo Milionea wakiwa jukwaani tayari kutoa tuzo. |
![]() |
| Msanii bora wa hiphop ni Roma akiwa amesindikizwa na rafiki yake Izzo Bussiness'' Izzo Biashara'' kupokea tuzo yake ya pili. |
![]() |
| Recho anayetamba na kibao Kizunguzungu akitoa burudani |
![]() |
| Mtangazaji wa kipindi cha Mseto East Africa Mzazi Willy Tuva akipokea tuzo ya Wimbo bora wa Afrika mashariki Kigeugeu kwa niaba ya Jaguar. |
![]() |
| Rapa bora wa mwaka wa bendi ni Kalidjo Kitokololo aliondoka na yake moja. |
![]() |
| Wimbo bora wa kushirikiana Nai Nai wa Ommy Dimpoz ft Ali Kiba hapo wakiwa jukwaani kutoa shukrani zao |
![]() |
| Msanii bora anaechipukia Ommy Dimpoz akichukua tuzo yake ya pili akiwa na rafiki yake wa karibu Diamond. |
![]() |
| Dayna akiperfom wimbo wa Saida Karoli. |













No comments:
Post a Comment