![]() |
| Mwili wa Marehemu Steven Charles Kanumba ukiwa viwanja vya Leaders tayari kwa kuagwa. |
![]() |
| Ndugu,marafiki na viongozi mbalimbali wa nchi wakiwa pembeni ya mwili wa Marehemu Kanumba viwanja vya Leaders |
![]() |
| Mmoja oya watu walioshindwa kujizuia akiwa amezimia |
![]() |
| Maelfu ya raa waliojitokeza kumzika Kanumba katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es salaam |
![]() |
| Miss Tanzania mwaka 2006 Wema Sepetu akiwa amebebwa kukimbizwa hospitalini baada ya kuishiwa nguvu na kuzimia katika msiba huo |
![]() |
| Hapo ndipo makazi mapya ya milele ya mpendwa wetu Steven Kanumba katika makaburi ya Kinondoni jijni Dar es salaam. |










No comments:
Post a Comment