Vikosi vya uokoaji nchini China vimefanikiwa kufika kwenye vijiji vya mbali milimani vilioko Kusini-magharibi mwa nchi hiyo katika jimbo la Sichuan lililokumbwa na tetemeko kubwa la ardhi.
kutokana na kutokana na ugumu wa barabara na maporomoko katika maeneo hayo ya mbali.
Mawasiliano bado yameharibiwa hivyo kiwango cha uharibifu kamili bado hakijajulikana.







No comments:
Post a Comment