HOME

Apr 16, 2013

DEADLY BOSTON BLASTS!!




Google inachukua hatua kuwasaidia wanariadha kuwapata wapendwa wao waliopotea kutokana na mashambulizi huko Boston karibu na mstari wa kumalizia mbio ndefu.

Mtandao huo unaoitwa Google Person Finder,unamruhusu mtumiaji kuingiza jina la mtu anayemtafuta au kuingiza taarifa kuhusu mtu ambaye yupo katika eneo la tukio.

Mawasiliano ya simu yamekuwa magumu katika eneo la Boston ambapo makampuni ya simu yamesema imekuwa vigumu huduma kupatikana lakini ni kutokana na foleni kubwa iliyopo.

No comments:

Post a Comment