HOME

Apr 30, 2013

MSONGAMANO MKUBWA WA MAGARI BARABARA YA KIJITONYAMA!!


Kutokana na mvua za hapa na pale zilizonyesha leo katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es salaam, Hali imeonekana kuwa mbaya kwa upande wa barabara ambapo kumeonekana msongano katika baadhi ya maeneo uliosababisha kero kubwa kwa watumiaji wa barabara kutokana na foleni kubwa. 
Hii ni barabara ya Mwananyamala Kijitonyama inavyoonekana leo katika picha ambapo magari kadhaa yalionekana kukwepa foleni iliyokuwa katika barabara kuu ya Alli Hassan Mwinyi na Mwai Kibaki.

No comments:

Post a Comment