HOME

Apr 25, 2013

PICHA ZA KATE ZAZUA UTATA...WAWILI WACHUNGUZWA!!

Mkuu wa uchapishaji wa gazeti la Ufaransa Closer na mmoja wa wapiga picha wanafanyiwa uchunguzi nchini Ufaransa kufuatia kuchapisha picha za Duchess of Cambridge Kate Middleton.

Picha hizo zilichukuliwa wakati wa ziara binafsi ya mapumziko aliyofanya nchini Ufaransa zilichapishwa na Closer mwezi Septemba.


Gazeti moja lilitumia picha zake katika vazi la kuogolea yaani swimwear.

 
Images:  http://www.dailymail.co.uk/
Mondadori boss Ernesto Mauri na wa La Provence Valerie Suau wanafanyiwa uchunguzi wa kuingilia uhuru wa mtu binafsi.

Bi. Suau amekiri kuchukua picha hizo zilizokuwa katika vazi la kuogelea.

No comments:

Post a Comment