HOME

Mar 27, 2012

SUDAN NA SUDAN KUSINI ZAPIGANA!!


Mapigano mapya yamizuka kati ya majeshi ya Sudan na yale ya Sudan kusini .


Pande zote zinasema kuwa mapigano hayo yametokea katika maeneo kadhaa ya mipaka kati ya mataifa hayo mawili.


Msemaji wa jeshi la Sudan Kusini amesema mapigano hayo ndio makubwa na mabaya zaidi kuwahi kutokea tangu nchi hiyo ijipatie uhuru wake toka Sudan.


Na kuchipuka kwa mapiganao hayo mapya kumemfanya Rais Salva Kiir kuonya kuwa vita vinanukia eneo hilo

No comments:

Post a Comment