HOME

Mar 10, 2012

OFISI YA BUNGE YAPOKEA RASMI NYUMBA MPYA YA SPIKA!!

Nyumba ya spika iliyokabidhiwa inavyoonekana kwa upande wa nyuma.

Bw. Siegfried Kuwite akitia saini makabidhiano hayo kwa niaba ya Katibu wa Bunge ambaye ndiye Mshitiri (client) wa jengo.

Bw. Mwatawala akimkabidhi  Msanifu Majengo M. F. M Msangi (kulia) anyewakilisha Wakala wa Majengo ya Serikali. Wakala wa Majengo Tanzania ndiye Meneja wa Mradi huu.

Nyumba ya spika inavyoonekana kwa upande wa mbele .(Picha na Prosper Minja – Bunge).

No comments:

Post a Comment