HOME

May 21, 2012

WATU WATATU WAMEKUFA JUU YA MLIMA EVEREST!!

Maafisa huko Nepali wamesema kuwa Takribani watu watatu wamefariki dunia wakati wakirejea kutoka kilele cha mlima Everest,Nepali.

Kitengo cha wapanda milima huko Gyanendra Shresth kimesema kuwa watu hao watatu wanaaminika kuwa ni raia kutoka Korea kusini,Mjerumani mmoja na mwanamke kutoka nchini Canada ambapo hali zao zilikuwa kawaida siku za Ijumaa na Jumamosi asubuhi lakini upepo mkali ulipiga mlima humo baadae.

Pia kitengo hicho kimeongeza kuwa wapanda mlima wengine wawili kwa sasa wamepotea.

No comments:

Post a Comment