HOME

May 7, 2012

RAIS KIKWETE AWAAPISHA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI ALIOWATEUA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM!!

Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika viwanja vya Ikulu asubuhi hii ili kuanza kazi ya kuapisha mawaziri wapya aliowateua hivi karibuni katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salaam.
Dk. Harrison Mwakyembe akila kiapo kuwa Waziri wa Uchukuzi mbele ya Rais Jakaya Kikwete kwenye viwanja vya Ikulu asubuhi hii.
Mhe Hawa Ghasia akila kiapo mbele ya rais Jakaya Kikwete
Dk. Hussein Mwinyi akila kiapo kuwa Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii mbele ya rais Jakaya Kikwete

No comments:

Post a Comment