HOME

May 2, 2012

SERIKALI YAWEKA UDHIBITI KUZUIA WIZI FEDHA ZA UMMA!!

Rais Jakaya Kikwete  amesema wameanzisha utaratibu mpya wa mgao wa fedha za serikali na jinsi zinavyotumika kufuatia hivi karibuni kamati tatu za bunge kubaini matumizi mabaya ya fedha hizo.

Rais Kikwete amesema hayo baada ya kupokea maandamano ya wafanyakazi wakati akizungumza na maelfu ya wananchi wa mkoa wa Tanga,wafanyakazi wa idara za serikali na viongozi mbali mbali kutoka ndani na nje ya nchi katika kilele cha sherehe za sikukuu ya wafanyakazi duniani Mei mosi zilizofanyika kitaifa mkoani Tanga..

Katika sherehe hizo Rais alitoa vyeti kwa wafanyakazi bora nchini ambapo baadhi yao walielezea kuwa hatua hiyo ni yenye kuwapa ari na tija kwa kulitumikia taifa kabla ya kustaafu cue in nicholaus mganga

No comments:

Post a Comment