HOME

May 10, 2012

OBAMA AUNGA MKONO NDOA ZA JINSIA MOJA!!

Rais wa Marekani Bw. Barack Obama
Rais wa Marekani Bw. Barack Obama amemaliza mwezi mmoja wa majadiliano juu ya suala la ndoa za jinsia moja na kusema watu wa jinsia moja wawe na haki ya kuoana.

Rais Obama anakuwa rais wa kwanza wa Marekani kukubaliana na
suala hilo la ndoa ya jinsia moja.

Mpinzani wake katika uchaguzi wa rais wa mwaka huu, Mitt Romney, wa chama cha Republican amesema bado anabakia kupinga ndoa za watu wa jinsia moja.

Siku za karibuni Makamu wa rais Joe Biden na mmoja wa mawaziri Arne Duncan walielezea kuunga mkono vyama vya watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja.

Katika shambulio la bomu lilitokea mwishoni mwa mwezi Aprili ambapo watu 10 waliuwawa karibu na msikiti.

No comments:

Post a Comment