HOME

May 1, 2013

SHUHUDIA WABUNGE VENEZUELA WALIVYOCHAPANA MAKONDE BUNGENI!!

Wubunnge katika bunge la Venezuela wamepigana ngumi na makonde kufuatia mgogoro wa hivi karibuni wa uchaguzi wa urais nchini humo.

Wabunge kadhaa wameachwa wakiwa na michubuko na damu katika
maeneo kadhaa ya mwili huku wabunge wote wa upinzani na wa chama tawala wakituhumiana kuanzisha ugomvi huo.

Awali maagizo yalitolewa kuzuia wabunge haki ya kuzungumza hadi pale watakapomtambua Nicolas Maduro kama rais wa nchi hiyo.
 Rais Nicholas Maduro.

No comments:

Post a Comment