HOME

May 16, 2013

BECKHAM ATANGAZA KUSTAAFU SOKA!!


Kampteni wa zamani wa Timu Uingereza David Beckham anatarajiwa kustaafu mchezo wa soka mwishoni mwa msimu huu.

Beckham mwenye umri wa miaka 38 alisaini mkataba wa miezi mitano huko Paris St-Germain mwezi Jmanuary na kuchangia mshahara wake wote kwenye shughuli za hisani.

Beckham amewahi kucheza mechi  115 kwa timu yake ya Uingereza na 394 kwa Manchester United na kushinda mataji sita ya Premier League pamoja na Champions League.

Beckham amenukuliwa akisema kuwa anaishukuru PSG kwa kumpa nafasi ya kuendelea nae lakini kwa sasa anafikiri ni muda sahihi wa kustaafu taaluma yangu akiwa amecheza kwa kiwango kikubwa sana.

No comments:

Post a Comment