HOME

May 27, 2013

NEYMAR KUJIUNGA NA BARCA MWEZI JULAI.


Staa wa Brazil na klabu ya Santos Neymar da Silva Santos Jr, hatimaye amekubali kujiunga na klabu yenye mafanikio makubwa ya Hispania, Barcelona. Ripoti zinaonesha kuwa Neymar, ataichezea klabu hiyo kuanzia Julai mwaka huu, mara baada ya kumalizika kwa kombe la mabara. Neymar amejitia kitanzi cha miaka mitano kwa miamba hiyo ya Ulaya yenye wakali kama Lionel Messi, Xavi Hernandez, Andre Iniesta na Pedro Rodriguez.

Hapa chini ni official Twitter handle ya Barca, ilipo-confirm habari hizi.


No comments:

Post a Comment