HOME

May 27, 2013

BAADHI YA PICHA ZA AJALI YA TRENI NA GARI AINA YA RAV 4 UKONGA ASUBUHI HII.




Taarifa zinasema kwamba kuna ajali imetokea leo asubuhi maeneo ya Ukonga, ambayo imehusisha treni na gari aina ya RAV 4 ambayo ndani ilikuwa na watu wawili. Dereva wa RAV 4 amekufa papo hapo na abiria ambaye ni mwanamke hali yake ni mbaya yupo mahututi hospitali!

Picha kwa hisani ya MPEKUZI BLOG.

No comments:

Post a Comment