HOME

May 20, 2013

MICHUANO YA FOOSBALL AMBASSODORS LOUNGE - SEMI FINALS!!

Wachezaji 16 wakipiga picha ya pamoja katika michuano ya foosball jijini Dar es Salaam
Caroline Kakwezi akiwazawadia timu Liverpool ( Tigo Tanzania) wakiwa wameingia kwenye finali ya michezo ya foosball
Caroline Kakwezi , Meneja masoko wa Heineken Tanzania akiwazawadia timu Champion wa Samaki Samaki mjini wakiwa wameingia  kwenye finali ya mchezo wa foosball.
Mmoja wa mashabiki wa timu Liverpool ( Tigo Tanzania) akimkumbatia Godfrey Musihula baada yakushinda kuingia kwenye finali ya michuano hii ya foosball
Timu ya EATV ambayo ilifanikiwa kuingia nusu fainali.

No comments:

Post a Comment