HOME

May 3, 2013

SWAGA ZA SUPAMIX KUELEKEA LOVERS & FRIENDS BATA FRIDAY... NI LEO.... USIKOSE!!!

Hii ni katika kipindi cha Supamix ambapo Baba T (Kulia) DJ mwenye uzoefu wa miaka 46 kwenye game, jana aliamua kutinga studioni kuungana na wana supamix kuwaonjesha burudani itakayoporomoshwa kwenye usiku wa Bata Friday ambao unafanyika leo maisha Club. Tinga kivazi chako cha Red uwakilishe Team Red.

Mtangazaji mahiri Afrika Mashariki Zembwela akitangaza Supamix wakati Baba T anapiga ngoma kalii za Reggae.
Baba T
DJ Kim nae anawakilisha Team Red akiwa na Colletha Raymond wa Show ya weekend breakfast inayoruka kila Jumapili kuanzia saa 12 kamili asubuhi hadi saa nne huwa anakuwa na Michael Lukindo. Kennedy the remedy kwa mbali.
Ireen Tillya aka Bibi ndani ya Supamix na Zembwela.

No comments:

Post a Comment