HOME

May 23, 2013

BEN POL AINGIA KIKAANGONI...AKONGA NYOYO ZA MASHABIKI WAKE KUPITIA FACEBOOK PAGE YA EATV!!

....Akipatiwa maelezo kwa ufupi kutoka Barnaba kutoka kitengo cha New Media EATV

Akichat Livee na Fans wake 
EATV kupitia Facebook Page yake leo imempa nafasi Mwanamuziki mkali wa masauti nchini Tanzania Benpol kuchat Live na mashabiki wake. Hapo amepata nafasi ya kujibu maswali ya kila aina kutoka kwa mashabiki alikuwa kikaangoni.
Ben pia alipata nafasi ya photoshoot na warembo wa EATV 

1 comment:

  1. hellow there ben..
    uko poa!?
    c tunakupenda ingawa tupo kwenye janga la mabom huku mtwara yu r rockin men'...
    kip t up!!

    ReplyDelete