HOME

Jun 6, 2012

SARAHA ADONDOKA NA JAMBAZI!!

 
Msanii wa kike aliyeweza kujichanganya vizuri na baadhi ya wasanii wa miondoko ya bongo flava nchini Tanzani, Saraha anayetokea nchini Sweden aendeleza cheche zake kwa kutoa vibao mbalimbali katika gemu hii ya muziki.


Akiwa anatamba na vibao kama Tanesco, Malaika na vinginevyo hivi sasa Saraha amefyatua audio track yake mpya aliyoipa jina 'Jambazi' iliyotayarishwa na mumewe Fundi Samweli katika studio ya Usanii Production.


Isikilize ngoma hapa!!

No comments:

Post a Comment