HOME

Jun 11, 2012

LIBYA KUFANYA UCHAGUZI MWEZI JULAI!!

Mkuu wa tume ya uchaguzi Bw. Nuri al Abbar
Maafisa nchini Libya wamesema kuwa mapigano kati ya majeshi ya serikali na wapiganaji wa kikabila kusini mwa mji wa Kufra nchini humo yameendelea kwa siku ya pili.

Takribani watu 16 wameuwawa tangu kuanzia kwa mapigano hayo siku ya Jumamosi huku wanawake na watoto wakiwa kati ya waliowawa.

Serikali ya Libya imekuwa katika jitihada za kudumisha ulinzi tangu kuondolewa madarakani kwa kanali Muammar Gaddafi mwaka jana.

No comments:

Post a Comment