Apr 5, 2012
Apr 4, 2012
WATU SABA WAMEKUFA KATIKA MLIPUKO NCHINI SOMALIA!!
Watu saba wamekufa mapema leo kufuatia mlipuko mkubwa katika ukumbi mpya wa kitaifa uliofunguliwa hivi karibuni uliopo jijini Mogadishu nchini Somalia.
Mlipuko huo umetokea wakati wa hafla ya kuamdhimisha mwaka mmoja tangu televisheni ya taifa kuanza kuyapeperusha matangazo yake.
Takriban watu saba wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa, wakiwemo wabunge ambapo Waziri Mkuu Abdiweli Mohamed Ali alikuwepo kwenye hafla hiyo lakini haijabainika ikiwa alijeruhiwa.
Mshambuliaji wa kike wa kujitoa mhanga ameripotiwa kufanya shambulio hilo.
Mlipuko huo umetokea wakati wa hafla ya kuamdhimisha mwaka mmoja tangu televisheni ya taifa kuanza kuyapeperusha matangazo yake.
Takriban watu saba wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa, wakiwemo wabunge ambapo Waziri Mkuu Abdiweli Mohamed Ali alikuwepo kwenye hafla hiyo lakini haijabainika ikiwa alijeruhiwa.
Mshambuliaji wa kike wa kujitoa mhanga ameripotiwa kufanya shambulio hilo.
SOKO LA SAMAKI FERI LILIPOWAKA MOTO LEO ASUBUHI!!
| Picha zote na Hassan Mabuye |
Hata hivyo haikujulikana ni hasara kiasi gani imesababishwa na moto huo na hakuna mtu yeyote aliyejeruhiwa katikla tukio hilo.
MWANAMKE MZEE AWEZA KUIDHIBITI NDEGE BAADA YA MUME WAKE RUBANI KUZIMIA NA KUFA!!
![]() |
| Ndege iliyodhibitiwa na Bi. Collins isiweze kutua ghafla |
Bibi huyo ambaye ametambulika kwa jina la Helen Collins alikuwa mtulivu wakati akishusha ndege hiyo ndogo aina ya Cessna na kutua katika uwanja wa ndege wa Cherryland pamoja na kwamba alijua mume wake amefariki.
Mwanae James Collins ambaye naye ni rubani aliyefuzu alimuongoza mama yake kwa njia ya radio na kufanikiwa kutua amesema mama yake aliwahi kufanya masomo ya msingi ya urubani ya kuruka na kutua miaka 30 iliyopita.
Subscribe to:
Posts (Atom)


