
Mwenyekiti mtendaji wa tume hiyo Dk Fatma Mrisho ametaka kuwepo kwa mbinu za kuwashawishi wanaume kujenga tabia ya kupima na kufahamu afya zao ikiwemo afya ya uzazi.
Akizungumza jijini Dar es salaam leo, Dk Mrisho amebainisha kuwa utafiti alioufanya kwa takribani miaka 10 unaonyesha kuwa asilimia 67 ya wanouguza waathirika wa ugonjwa wa Ukimwi ni wanawake.
No comments:
Post a Comment