
Bw. Birungi amesema kuwa pia jeshi la polisi linaendelea na mchakato wa kujiweka tayari kupambana na shambulio lolote la kigaidi.
Ameweka wazi kuwa mashambulizi yoyote ya baadae katika nchi hiyo yatakabiliwa kwa kutumia teknologia na wanajeshi waliopatiwa mafunzo vizuri.
No comments:
Post a Comment