
Taarifa ya kituo hicho imesema kuwa ripoti hiyo ya kipindi cha mwaka mmoja uliopita, itaangalia namna sera na sheria zilizopo zilivyoshindwa kukabiliana na ongezeko la ukiukwaji wa haki za binadamu.
Aidha ripoti hiyo imefafanua kuwa ripoti hiyo itatoa ushauri wa hatua zinazopaswa kuchukuliwa na jamii pamoja na serikali, katika kukabiliana na matukio ya uvunjaji wa haki za binadamu ambayo yamekuwa yakiongezeka mwaka hadi mwaka.
No comments:
Post a Comment