

Pia amefunguka kuwa tarehe ya Show ya miaka 13 ya LADY JAYDEE itatangazwa baadae kila kitu kikiwa tayari na kuwaomba mashabiki kumpa support kubwa.
''Kuna fitna kubwa imepagwa, wafitini wanasubiri tutangaze tarehe yetu tu na wao watangaze tarehe hiyo hiyo sawa na yetu, Na tena wachague venue ya jirani na tutakapofanyia sisi show.'' Jide alifunguka
Chini ni List ya nyimbo ambazo zitakuwepo ndani ya Albamu hiyo.
1. Joto Hasira
2. Yahaya
3. Njiwa
4. Nimekusamehe
5. Historia
6. Tell Him
7. When You Cry
8. Why?
9. Msichoke Feat: Machozi Band
10. Yeye (Bonus Track)
No comments:
Post a Comment