
Mr Nice alijipatia umaarufu mkubwa sana Tanzania na East Afrika kwa ujumla sasa amejikita katika lebo ya Grandpa Records inayowasimamia wasanii wengi Kenya akiwemo DNA na kutoa ngoma inayokwenda kwa jina la TAFUTA ambayo iko tayari kutikisa vituo vya radio na TV Bongo na nje ya mipaka yake. Well, Kila la kheri kwa Mr Nice people expect a lot from you brother.
Shuka chini To watch the Video.......
No comments:
Post a Comment