
Nyota huyo alitajwa kuwa mmoja wa washiriki wa shindano hilo maarufu ambalo linatarajiwa kuanza rasmi tarehe 26 mwezi May mwaka huu nchini Africa Kusini.
Tonto anayejulikana kwa jina halisi Tonto Charity Dikeh, ametweet kwa mashabiki wake kuelezea situation hiyo ilivyo.

No comments:
Post a Comment