

Pambano hilo lilimalizika kwa sare ya bao 2 - 2 ambapo Liverpool walikuwa nyuma wakati tukio hilo linatokea huku tayari akiwa amesababisha penalti, Suarez alionekana ameng'ang'ania mkono wa Ivanovic na kumng'ata kwa nguvu.
Suarez ameshaomba radhi kutokana na tukio hilo ambapo chama cha soka England leo kinatarajiwa kuongea.

No comments:
Post a Comment