HOME

Apr 4, 2012

SKYPE TO CREATE 400 JOBS,YAHOO EXPECTED TO CUT 2,000!!

Skype has announced plans to create about 400 new jobs across five cities.


The internet video-calling business - which is owned by Microsoft - said it is initially looking to take on staff in London and Stockholm.


Other posts will later be created in Tallinn, Estonia; Prague, Czech Republic and Palo Alto in California, USA.


The news coincides with an expected announcement of 2,000 job cuts at Yahoo.

SITA WAFA KATIKA MAPOROMOKO KENYA!!

Watu wanne wamekufa mapema leo katika makazi duni ya Mathare jijini Nairobi nchini Kenya baada ya kuangukiwa na kifusi kufuatia maporomoko ya ardhi.


Ajali hiyo mbaya imetokea mapema alfajiri baada ya jiwe kubwa kuporomoka kutoka kilimani huku mvua kubwa ikiendelea kunyesha na kuangukia katika makazi hayo.


Kamishna mkuu wa Polisi Mathew Iteere amethibitisha vifo vya watu hao akiwa katika eneo la tukio ambapo watu wanane wamekimbizwa Hospitali ya taifa ya Kenyata kwa matibabu.

Apr 3, 2012

COLOUR KWA FACE SUNSCREEN CAMPAIGN AT THIKA SCHOOL OF THE BLIND!!

Nonini together with his Prohabo Team (Mwihaki Lilz,Catherine,Ngash Mtrue),Big Ideas (Willie Owusu,Aleks Kamau),Kisara,Ronny,Sound Team and A.S.K's representative Alex! Went to Thika Primary & Secondary School for the blind to specifically donate sunscreen lotions to the students with Albinism. 
Children living with albinism are more susceptible to skin cancer as the suns ultra-violet rays penetrate through their skin.  Hence for people living with albinism,sunscreen lotions are a matter of life and death. Sadly, however, not all Persons living with albinism are as lucky, which is why Nonini is motivated to help lobby their cause through his music and Colour kwa Face Campaign
It was a special day for the Kids because they got to mingle with there favorite celebrity the godfather as he performed for them but the motivational talk was what they will live to remember. But for Nonini distributing the sunscreen lotions and just putting a smile on the kids face was all he needed on this day which was also special to the Raprenuer because it was his Late Bro's Birthday Jude Mwinduko!  
We still have lots of work to do! To Support the Cause buy a Sunscreen lotion and inbox Nonini or even write on his website and he will come collect from you...If u are outside the country u can ship them to our offices @ this Address 


COLOR KWA FACE CAMPAIGN 
P.O. BOX 29791-00100
NAIROBI, KENYA  EAST AFRICA

Apr 2, 2012

CHADEMA YAIBUKA KIDEDEA UBUNGE ARUMERU MASHARIKI!!

Bw. Joshua Nassari wa tatu kutoka kushoto akipongezwa na katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA baada ya kutangazwa mshindi wa Ubunge Arumeru Mashariki.
Hatimaye kinyang'anyiro cha kiti cha Ubunge jimbo la Arumeru Mashariki kati ya Joshua Nassari wa CHADEMA na Sioi Sumari wa CCM kimefikia tamati leo baada ya msimamizi Bw. Trasius Kagenzi kumtangaza Joshua Nassari kuwa mshindi kwa kupata kura 32972 akifuatiwa na mgombea wa CCM aliyepata kura 26757.