Ajali mbaya inayohusisha magari matatu imetokea katika barabara ya Chang'ombe jijini Dar es salaam na kusababisha msongamano mkubwa wa magari na watu kuchota mafuta yanayomwagika kutoka kwenye Lori hilo.
Hatari iliyopo ni kwamba ni kwamba kutokana na watu kuchota mafuta yanayomwagika kutoka kwenye Lori hilo lililokuwa likitokea Ubungo kwenda bandarini na kusababisha foleni kubwa.
Picha kwa hisani ya East Africa Televishion Facebook Page unaweza kui Like kupata updates ya masuala mbalimbali yanayoendelea kila siku.
Picha kwa hisani ya East Africa Televishion Facebook Page unaweza kui Like kupata updates ya masuala mbalimbali yanayoendelea kila siku.
No comments:
Post a Comment