Taarifa zinasema kwamba kuna ajali imetokea leo asubuhi maeneo ya Ukonga, ambayo imehusisha treni na gari aina ya RAV 4 ambayo ndani ilikuwa na watu wawili. Dereva wa RAV 4 amekufa papo hapo na abiria ambaye ni mwanamke hali yake ni mbaya yupo mahututi hospitali!
Picha kwa hisani ya MPEKUZI BLOG.
No comments:
Post a Comment