HOME

Jun 19, 2013

VIDEO: MNYIKA AKIELEZA KUWA MLIPUAJI BOMU KWENYE MKUTANO WA CHADEMA ARUSHA NI POLISI.

Video ikimuonesha Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa CHADEMA Mhe. John Mnyika akizungumza na Waandishi wa Habari tarehe 18/06/2013 Makao Makuu ya CHADEMA. Mnyika amesema CHADEMA inao ushahidi wa video kuwa aliyelipua bomu kwenye mkutano wa Chadema Arusha ni Polisi na Polisi wenzake wakamsaidia kutoroka.

Tazama video hii hapa chini

No comments:

Post a Comment