
Katika hotuba hiyo rais Museveni aliainisha matatizo ambayo taifa hilo linakabiliana nayo ikiwa ni pamoja na kutafuta fedha kwa ajili ya kuendeleza miundo mbinu na kuainisha kuwa nyongeza ya mishahara sio
kipaumbele.
Katika hotuba yake rais amesema nchi hiyo itakusanya fedha kwa ajili ya kujenga barabara za lami 44 ambazo zimeainishwa na UNRA kwa kuziimarisha katika mwaka ujao wa fedha.
No comments:
Post a Comment