
Mkuu wa polisi wa jimbo hilo Abdul Raziq amesema madereva wanaowahudumia majeshi ya NATO walikuwa wanakusanyika katika hoteli hiyo wakati wa shambulio hilo.
Taarifa hiyo ya jeshi la polisi inasema watu 22 walijeruhiwa kufuatia shambulio hilo karibu na uwanja wa ndege wa mji huo.
No comments:
Post a Comment