![]() |
Roger Federer |
![]() | |
Rafael Nadal |
Naye mchezaji namba moja kwa ubora duniani Rafael Nadal ametinga nusu fainali baada ya kumfunga Mikhail Youzhny wa Urussi kwa seti 6-4, 6-4 ,Nadal atakumbana na mfaransa Gael Monfils katika nusu fainali hiyo,Monfils alimfunga Victor Troicki kwa seti 6-2, 6-3. .
Federer atakumbana na mfaransa mwingine Jo-Wilfried Tsonga, ambaye alimfunga katika fainali za tour ya dunia ATP,lakini alifungwa na Tsonga katika robo fainali ya shindano la Wimbledon.
No comments:
Post a Comment