![]() |
Dk. Harrison Mwakyembe akila kiapo kuwa Waziri wa Uchukuzi mbele ya Rais Jakaya Kikwete kwenye viwanja vya Ikulu asubuhi hii. |
![]() |
Mhe Hawa Ghasia akila kiapo mbele ya rais Jakaya Kikwete |
![]() |
Dk. Hussein Mwinyi akila kiapo kuwa Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii mbele ya rais Jakaya Kikwete |
No comments:
Post a Comment